suluhu

Mjitokeze kuhesabiwa: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kujitokeza kuhesabiwa katika zoezi la sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kufanyika Agosti 25 mwaka huu. Rais Samia maetoa wito huo akizungumza katika kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Rais wa awamu ya tano John Pombe Magufuli katika uwanja wa Magufuli, Chato. “Tuendelee kuelimishana na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks