Screen Shot 2025 04 10 at 3.43.18 PM

Jukwaa la Utalii wa Chakula Duniani, CHAN kuendelea kutangaza utalii wa Tanzania

Jukwaa la Pili la Utalii wa Chakula Duniani kwa Kanda ya Afrika linaloandaliwa na Shirika la Utalii Duniani linatarajiwa kufanyika hapa nchini Aprili 2025 jijini Arusha. Haya yamebainishwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa alipokuwa akiwasilisha mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali na makadirio ya mapato na matumizi…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 11 07 at 12.39.29

Viwango vya malipo kwa waongozoza watilii, wapishi kuwekwa kisheria

Serikali iko kwenye mchakato wa kuweka malipo ya wapagazi, waongoza watalii na wapishi katika mlima kilimanjaro kuwa kisheria. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Dunstan Kitandula amesema hayo Bungeni Dodoma wakati akijibu swali lambunge wa Vunjo Dkt. Charles Stephen Kimei ambaye alitaka kujua lini Serikali itafanya mapitio ya viwango vya malipo ya ujira kwa wapagazi,…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 06 05 at 16.47.55

Wabunge wataka Maliasili iongezewe bajeti

Wabunge wameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mapinduzi makubwa yanayofanywa hivi sasa na kutaka wizara hiyo iongezewe bajeti ili iweze kufanya vizuri zaidi katika mwaka wa fedha 2023/24. Baadhi ya wabunge waliochangia hotuba ya Wizara ya Maliasili na Utalii, ni Mbunge wa viti maalum Njombe (CCM) Neema Mgaya ameitaka Serikali kuangalia namna ya kurudisha…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks