WhatsApp Image 2023 08 18 at 11.45.40

Uzalishaji miche ya mkonge kwa chupa kufikia milioni 10

Serikali imepanga kuzalisha miche milioni kumi kwa njia ya teknolojia ya chupa (Tissue Culture) kupitia maabara ya kisasa inayojengwa katika Kituo cha Utafiti TARI Mlingano, Wilaya ya Muheza, Tanga. Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde amebainisha hayo alipotembelea kituo cha TARI Mlingano na kukagua maendeleo ya ujenzi wa maabara hiyo. “Mahitaji ya miche ya mkonge…

Soma Zaidi
mkoo

Naibu Waziri atamani kilimo kiwanufaishe wakulima

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amefanya ziara ya kikazi mkoani Tanga ambapo amezungumza Menejimenti ya Bodi ya Mkonge Tanzania baada ya kukagua ukarabati wa jengo la ofisi ya Bodi hiyo. “Natamani kuwaona wakulima nchini wakinufaika kwa kazi wanayoifanya”, amesema Naibu Waziri. Mavunde amesema Serikali ina malengo ya kukuza uchumi wa kaya na uchumi wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks