Baraza la Chuo cha Taifa cha Sukari lazinduliwa
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amezindua Baraza la Chuo cha Taifa cha Sukari na kulitaka Baraza hilo kuhakikisha kuwa inakuwa Kituo cha Umahiri cha kuboresha sekta ya sukari nchini. Katika uzinduzi huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Wizara ya Kilimo-Dodoma na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli, Bashe amelitaka Baraza hilo kuhakikisha…
