Italia yaahidi kuisaidia Tanzania mradi wa SGR
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameishukuru Italia kwa kutoa dhamana ya mkopo wa kujenga Reli ya Kisasa (SGR), kipande cha Kwanza na cha pili kuanzia Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma hadi Makutupora mkoani Singida, ambavyo ujenzi wake umekamilika na treni imeanza kutoa huduma kuanzia Dar es salaam hadi Dodoma. Dkt. Nchemba ametoa shukrani hizo mjini…
