Screen Shot 2025 04 29 at 3.14.08 PM

Afrika yaaswa kuimarisha ukusanyaji rasilimali za ndani kukabili misaada inayopungua

Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Sauda Msemo, amezitaka serikali za Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara kuimarisha ukusanyaji wa rasilimali za ndani ili kupunguza utegemezi mkubwa kwa misaada ya kigeni inayopungua. Akizungumza Aprili 28, 2025 katika mjadala ulioandaliwa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 23 at 11.00.59 AM

Dkt. Mwigulu: Tanzania imejipanga kukabiliana na mabadiliko Sera za Marekani

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Tanzania imejipanga kukabiliana na mabadiliko ya sera za nje za Marekani kuhusu misaada kwa nchi za Afrika kwa kutumia rasilimali zake ndani kupitia Bajeti Kuu ya Serikali. Dkt. Nchemba amesema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks