WhatsApp Image 2022 11 14 at 3.35.05 PM

Waziri ahimiza uwekezaji sekta ya utalii

Wizara ya Maliasili na Utalii imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali katika kutangaza vivutio vya utalii na fursa za uwekezaji zilizo katika sekta ya utalii ndani na nje ya nchi. Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana amesema hayo alipokuwa akitoa salamu za Wizara wakati wa kufunga Maonesho ya Utalii Karibu Kusini mkoani…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks