CBT kuwa chombo cha majadiliano baina ya wakulima na benki za kibiashara
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) amesema Benki ya Ushirika Tanzania (CBT) itakuwa chombo muhimu cha majadiliano na makubaliano ya kibiashara kati ya wakulima na Benki za Kibiashara. Bashe amesema hayo Oktoba 17, 2024 katika Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Wananchama wa Benki ya Ushirika Tanzania (CBT) uliofanyika jijini Dodoma. Waziri Bashe amesema CBT inaanza…
