WhatsApp Image 2022 05 31 at 2.30.45 PM

Rais Samia apokea Kombe la Dunia

Rais Samia Suluhu Hassan leo Mei 31, 2022 amepokea Kombe la Dunia la Mashindano ya Mpira wa Miguu Ikulu jijini Dar es Salaam. Akipokea kombe hilo Rais Samia amesema kombe hilo kutembezwa Tanzania kuna maana kubwa kwenye mchango wa kiuchumi na kijamii kwa fursa zinazoweza kupatikana katika kuitangaza nchi. “Kwa maneno mengine hapa Tanzania tunasema…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks