Bilioni 1.2 zafadhili CRDB Marathon kwa miaka minne
Zaidi ya Tsh. Bilioni 1.2 zimetolewa kufadhili CRDB Bank International Marathon kwa kipindi cha miaka minne. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amebainisha hayo Agosti 18, 2024 wakati wa Kilele cha CRDB Bank International Marathon 2024 iliyofanyika katika viwanja vya The Green, OysterBay jijini Dar es Salaam. Ameeleza kuwa, fedha zote…
