Mwenyekiti wa Mbinga Mji ataka miradi ya milioni 232 ikamilishwe
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Kelvin Mapunda ametoa siku 10 kwa mafundi wanaotekeleza miradi ya bakaa kukamilisha kazi yao na kukabidhi kwa Halmashauri. Agizo hilo lilitolewa Januari 29, 2024 wakati wa ziara yake ya kukagua miradi sita ya bakaa yenye thamani ya jumla ya Shilingi milioni 232. “Ninatoa siku 10, kuanzia Januari 30…
