aasa

Tanzania yabaini vivutio vipya vya utalii 337

Wizara ya Maliasili na Utalii katika kipindi cha mwaka 2024/2025 imebaini vivutio vipya vya utalii 337 katika Mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe, Rukwa, Katavi na Kigoma. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula alipokuwa akijibu swali la Prof. Patrick Alois Ndakidemi aliyetaka Kujua Serikali ina mkakati gani…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 21 at 12.38.48

Wananchi kupata uelewa wa fedha kupitia maadhimisho

Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Huduma za Fedha yamelenga kuwawezesha wananchi kupata uelewa wa masuala ya fedha. Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Wasimamizi wa Sekta ya Fedha nchini, wameandaa maadhimisho hayo ambayo Kitaifa yanayofanyika katika Viwanja vya Ruanda-nzovwe Jijini Mbeya. Maadhimisho hayo yanalenga kutoa elimu kwa Wananchi kuhusu matumizi ya huduma rasmi za…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks