Mwanafunzi SUA atengeneza kifaa cha kuhifadhi mazao ya bustani
Changamoto ya kuoza na kuharibika kwa mazao ya bustani kumewasukuma wanafunzi wabunifu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kuja na ubunifu wa kifaa ambacho kina uwezo wa kutunza mazao hayo kwa muda mrefu zaidi. Mwanafunzi Christina Josephat anayesoma Shahada ya Sayansi ya Usalama wa Chakula na Uthibiti Ubora, SUA amesema wamekuwa wakiguswa na…
