Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki pesatu.co.tz

Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki

Unaweza usiamini lakini inawezekana, usiichukulie poa. Chupa za plastiki ni fursa ya biashara kama zilivyo biashara zingine. Biashara ya makopo ni biashara kama biashara zingine. Watu wengi wanaofanya kazi ya kuokota makopo huonekana kama wamechanganyikiwa kutokana na muonekano wa baadhi yao, wengi wakionekana wachafu. Usichokijua ni kwamba biashara hii ina uwezo wa kukupatia kipato cha…

Soma Zaidi
Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki pesatu.co.tz

Watanzania watakiwa kuwa na uthubutu

Watanzania wametakiwa kuwa na uthubutu wa kufanya biashara na kuwekeza katika maeneo mbalimbali badala ya kutegemea watu kutoka nje ya nchi katika uwekezaji. Ally Dahal, ambae ni Mkurugenzi wa Jochata Vocational Centre ametoa wito huo katika maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa, Sabasaba jijini Dar es Salaam. “Watanzania wengi hawana uthubutu wa kuanzisha biashara,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks