Screen Shot 2025 03 17 at 11.09.06 AM

Tanzania yang’ara utekelezaji shughuli za uwazi na uwajibikaji sekta ya madini

Serikali imesema itaendelea kuweka wazi taarifa za uwekezaji na mapato yanayopatikana katika sekta ya Madini, Mafuta na Gesi Asilia nchini kama Sheria inavyotaka na kwa kuzingatia vigezo vya Uwazi na Uwajibikaji vinavyosimamiwa na Asasi ya Kimataifa ya EITI. Hayo yameelezwa Machi 13, 2025 na Innocent Bashungwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakati akifungua…

Soma Zaidi
TODC

Vituo 5 vya gesi asilia kujengwa nchini

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kufikia Desemba, 2023, linatarajia kujenga vituo vitano vya gesi asilia nchini. Akizungumza na waandishi wa habari katika Maonyesho ya 16 Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dk. James Mataragio amesema vituo hivyo vitasaidia kupunguza malalamiko ya kuwa na vituo vichache vya gesi asilia….

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks