Serikali ya Tanzania yahimiza wadau agenda matumizi nishati safi
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa Serikali, Sekta Binafsi na Washirika wa maendeleo kuunga mkono agenda ya kuhimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa manufaa ya watu waishio Barani Afrika. Dkt. Nchemba ametoa wito huo wakati akifunga mkutano uliojadili umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia, kwa niaba ya Makamu…
