Screen Shot 2025 01 07 at 12.29.20 PM

Tanzania kushirikiana na Italia kuendeleza sekta ya madini

Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema kuwa Serikali itaendelea kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na Italia katika kuendeleza sekta ya madini nchini hususani katika teknolojia na mitambo. Ameyasema hayo Januari 06, 2025 alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Italia nchini Tanzania, Giuseppe Coppola katika ofisi ndogo za Wizara ya Madini Jijini Dar es Salaam. “Rais…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks