WhatsApp Image 2022 12 13 at 12.07.50 PM

Machinga Kariakoo kusajiliwa

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza kuwasajili wamachinga waliopo katika Soko Kuu la Biashara Kariakoo. Meneja wa Mkoa wa Kikodi wa Kariakoo Alex Katundu amesema tayari machinga 5273 wameshasajiliwa ili kuingizwa kwenye mfumo wa malipo ya kodi wa makadirio. Katundu amesema “usajili huu unafanyika kwa kila machinga aliyepo Kariakoo kwa sababu tulibaini baadhi ya wafanyabiashara…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks