WhatsApp Image 2024 02 29 at 16.46.36

Mfumo wa Crop Stocks Dynamic System warahisihsa utoaji taarifa bei za mazao sokoni

Wizara ya Kilimo inaendelea kutoa mafunzo ya kujenga uelewa kuhusu utaratibu wa uuzaji na ununuzi wa mazao ya chakula kupitia Mfumo wa Crop Stocks Dynamics System (CSDS) kwa watalaamu wa kilimo katika ngazi ya Halmashauri na Sekretarieti za Mikoa ili kurahisisha usajili wa ghala za Umma, vituo vya mauzo na ukaguzi wa mazao. Katika kuendelea…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 22 at 12.39.52

Tanzania kuacha kusafirisha korosho ghafi 2026/27

Serikali ya Tanzania imeazimia kuacha kusafirisha korosho ghafi ifikapo mwaka 2026/27. Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amesema hayo Agosti 21, 2023 wilayani Mkuranga alipotembelea kiwanda cha TANCOM kinachojihusisha na ukamuaji mafuta ya maganda ya korosho (CNSL) na kiwanda cha SABAYI INVESTMENTS cha kubangua korosho. Ameeleza kuwa mkakati wa Serikali ni kubangua korosho zote zinazozalishwa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks