Serikali imejipanga ujenzi maghala: Rais Dkt. Mwinyi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuwa Serikali inajipanga kwa ujenzi wa maghala ya kuhifadhia chakula ili kuwa na uhakika wa chakula hivyo kujitokeza kwa Sekta binafsi kuanza kujenga ghala ni jambo linalopaswa kuungwa mkono. Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo wakati akifungua ghala la Kuhifadhia chakula Gando ,…
