Kampuni za Japan zakaribishwa Tanzania
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa Kampuni za Japan kuwekeza nchini Tanzania ili kutumia fursa zilizopo katika sekta mbalimbali za uzalishaji kwa faida ya pande zote mbili. Dkt. Nchemba ametoa rai hiyo Jijini Dodoma wakati akiagana na Balozi wa Japan nchini Tanzania aliyemaliza muda wake, Yasushi Misawa ambapo pamoja na mambo mengine…
