Screen Shot 2025 01 09 at 3.05.15 PM

Kampuni za Japan zakaribishwa Tanzania

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa Kampuni za Japan kuwekeza nchini Tanzania ili kutumia fursa zilizopo katika sekta mbalimbali za uzalishaji kwa faida ya pande zote mbili. Dkt. Nchemba ametoa rai hiyo Jijini Dodoma wakati akiagana na Balozi wa Japan nchini Tanzania aliyemaliza muda wake, Yasushi Misawa ambapo pamoja na mambo mengine…

Soma Zaidi
Screen Shot 2024 12 03 at 1.40.02 PM

Bilioni 32 zanufaisha miradi ya utafiti, ubunifu

Serikali imesema kuanzia mwaka 2021imetoka Shilingi bilioni 32 ambazo zimetumika kwenye miradi ya utafiti na ubunifu. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amemsema hayo Disemba 02, 2024 wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kufungua Kongamano la tisa la Sayansi, Teknolojia, Ubunifu na maonesho linaloendelea Jijini…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 06 at 17.11.36

Uzalishaji muhogo ni tani 8.6 badala ya tani 30 kwa hekta

Imeelezwa kuwa uzalishaji wa muhogo nchini ni tani 8.6 badala ya tani 30 kwa hekta ambacho ndicho kiwango cha uzalishaji wenye tija. Uzalishaji mdogo katika mazao ya muhogo na viazi vitamu umekuwa ni kichocheo kwa watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kutumia teknolojia zitakazowezesha kuharakisha uzalishaji wa mbegu bora zinazostahimili mashambulizi ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks