Screen Shot 2025 04 24 at 3.56.51 PM

Tanzania yapiga marufuku mazao ya Afrika Kusini, Malawi

Tanzania imepiga marufuku uingizwaji wa mazao yoyote ya kilimo kutoka Afrika ya Kusini na Malawi kuingia nchini Tanzania. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ametoa tamko hilo la serikali ya Tanzania Aprili 23, 2024. “Kama waziri wa Kilimo sijapokea notisi yoyote, mazungumzo yanaendelea na yanaongozwa na Waziri wetu wa Mambo ya Nje, lakini wakati mazungumzo yanaendelea…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 04 at 10.17.27 AM

Serikali yazitaka Taasisi za Fedha kutowakandamiza wananchi mikataba ya mikopo

Serikali imezitaka Taasisi za Fedha zilizosajiliwa kutoa huduma ya mikopo, kuto wakandamiza wananchi katika mikataba kwa sababu ya kutojua kusoma na kuandika kwa kuwasainisha mikataba bila uelewa wao. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Kwimba, Mkoa wa Mwanza Ng’wilabuzu Ndatwa Ludigija, alipokutana na Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Fedha na Taasisi zake, ambayo…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 02 17 at 10.33.23 AM

Naibu Waziri Dkt. Biteko anadi soko la mazao jamii ya mikunde India

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema Serikali ya Tanzania imejidhatiti kuboresha na kuimarisha sekta ya kilimo kwa kuja na mipango kadhaa yenye lengo la kuongeza fursa kwa wakulima nchini. Dkt. Biteko amesema hayo jijini New Delhi, India  wakati akishiriki mkutano kuhusu masuala ya mazao jamii ya mikunde. “Tunaongeza uwekezaji katika…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks