WhatsApp Image 2023 08 22 at 12.39.52

Tanzania kuacha kusafirisha korosho ghafi 2026/27

Serikali ya Tanzania imeazimia kuacha kusafirisha korosho ghafi ifikapo mwaka 2026/27. Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amesema hayo Agosti 21, 2023 wilayani Mkuranga alipotembelea kiwanda cha TANCOM kinachojihusisha na ukamuaji mafuta ya maganda ya korosho (CNSL) na kiwanda cha SABAYI INVESTMENTS cha kubangua korosho. Ameeleza kuwa mkakati wa Serikali ni kubangua korosho zote zinazozalishwa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 18 at 11.45.58

Halmashauri 31 zapatiwa vifaa vya kupima afya ya udongo

Jumla ya Halmashauri 31 zimepatiwa vifaa vya kupima afya ya udongo kwa wakulima (Soil Scanner). Vifaa vilivyogaiwa ni soil scanner, vishikwambi, printer, lamination machine pamoja na seti ya kompyuta katika Halmashauri za mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Dodoma, Singida na Tabora. Akizungumza wakati wa ugawaji wa vifaa hivyo, mwakilishi kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt….

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 08 18 at 11.45.40

Uzalishaji miche ya mkonge kwa chupa kufikia milioni 10

Serikali imepanga kuzalisha miche milioni kumi kwa njia ya teknolojia ya chupa (Tissue Culture) kupitia maabara ya kisasa inayojengwa katika Kituo cha Utafiti TARI Mlingano, Wilaya ya Muheza, Tanga. Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde amebainisha hayo alipotembelea kituo cha TARI Mlingano na kukagua maendeleo ya ujenzi wa maabara hiyo. “Mahitaji ya miche ya mkonge…

Soma Zaidi
sawaaaa

Maonesho ya kwanza ya kilimo kufanyika mazingira ya jangwa

Wafanyabiashara na wawekezaji kutoka sekta ya kilimo wanaalikwa kushiriki katika maonesho ya kimataifa ya mazao ya kilimo yatakayofanyika Doha- Qatar. Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TanTrade) imesema inaratibu ushiriki wa Tanzania katika maonesho hayo yajulikanayo kama Horticulture Expo Doha 2023. “Wafanyabiashara na wawekezaji kutoka sekta ya kilimo wanaalikwa kushiriki…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks