Umekuwa ukifikiria jinsi ya kukuza biashara yako ndogo, lakini mtaji umekuwa kikwazo kikuu?

Jinsi unavyoweza kupata mkopo wa milioni 50 kwa biashara yako ndogo Tanzania

Pesa zako, biashara yako: Jinsi unavyoweza kupata mkopo wa milioni 50 kwa biashara yako ndogo Tanzania Je? Umekuwa ukifikiria jinsi ya kukuza biashara yako ndogo, lakini mtaji umekuwa kikwazo kikuu? Je, una ndoto ya kuongeza bidhaa, kununua mashine mpya, au kupanua soko lako, lakini kiasi cha Shilingi Milioni 50 kinaonekana kuwa mlima mrefu kupanda? Usife…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 03 10 at 14.43.55

Watanzania watakiwa kuchangamkia  fursa soko la Malawi

Mamlaka ya Maendeleo ya biashara Tanzania (TanTrade) 9Machi 2023 imeratibu mkutano Kwa njia ya Teknolojia ya Mtandao baina kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania nchini Malawi wenye lengo la kujadili fursa za kibiashara zilizopo kati ya Tanzania na nchi ya Malawi. Mkutano huo umeshirikisha Taasisi mbalimbali za serikali pamoja na Wafanyabiashara. Akizungumza katika mkutano huo,…

Soma Zaidi
QW

Serikali kujenga chuo cha TEHAMA Dodoma

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Jamhuri ya Korea imekubali kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan katika ujenzi wa chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasilino (Tehama) nchini Tanzania. Majaliwa amesema lengo la chuo hicho ni kuwasaidia vijana kuendeleza ubunifu wao na kuonesha namna wanavyoweza kuunda vifaa mbalimbali. Amesema hayo Oktoba 27, 2022 baada…

Soma Zaidi
coffee farm orchard

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu wengi ambao wamefanikiwa bado wanaendelea kuzichangamkia fursa za kilimo biashara kwa sababu wanajua zina mafanikio makubwa na muda unavyozidi kwenda, teknolojia zinavyoendelea kuboreshwa kilimo biashara kitafanyika kwa urahisi zaidi. Hata watu waliofanikiwa tayari wanachangamkia kilimo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks