Tanzania yapata soko la mashudu ya alizeti China
Wakulima wa zao la alizeti pamoja na mazao mengine yakiwemo tumbaku, pilipili na parachichi wamehakikishiwa uwepo wa masoko ya mazao nchini China huku Serikali ikiendelea na juhudi za kufufua masoko katika nchi nyingine Duniani. Akizungumza Agosti 14, 2024 mara baada ya kutia saini Hati ya Makubaliano ya Mauziano ya Mashudu ya Alizeti nchini China, iliyosainiwa…
