WhatsApp Image 2024 08 01 at 15.52.51

Tanzania inahitaji dola za Marekani bilioni 6.3 kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa

Tanzania inahitaji dola za Marekani bilioni 6.3 kwa mwaka ili kukabiliana na athari za papo kwa hapo zinazotokana na mabadiliko ya hali ya hewa. Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hayo wakati akizindua rasmi Ripoti ya Mapitio ya Hali ya Mwenendo wa Uchumi wa Tanzania kwa mwaka 2024, iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 07 22 at 13.32.10

Viongozi wanawake watakiwa kuweka mikakati kupunguza pengo la kijinsia umiliki akaunti za benki

Viongozi wanawake wa mabenki wameaswa kuandaa na kutekeleza programu na mikakati itakayopunguza pengo la kijinsia kati ya wanaume na wanawake katika umiliki wa akaunti za Benki. Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (B0T) (Uthabiti na Usimamizi wa Sekta ya Fedha), Sauda Msemo ameyasema hayo katika mkutano na viongozi Julai 18, 2024. Mkutano huo ulilenga…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks