Elimu matumizi bora ya fedha changamoto kwa wajasiriamali
Kukosekana kwa elimu ya matumizi bora ya fedha kumetajwa kama moja ya changamoto inayofanya wajasiriamali wengi kuwa na mikopo isiyo rasmi (mikopo umiza). Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Mussa Ally Mussa, amesema hayo wakati wa kikao na timu ya kutoa elimu ya fedha kwa umma kutoka Wizara ya Fedha ambayo ipo Mkoani Morogoro…
