WhatsApp Image 2024 10 22 at 12.13.08

Silinde: Tunathamini mchango wa SACCOS Kwenye utoaji wa huduma jumuishi za kifedha

Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amewataka Viongozi na Watendaji wa SACCOS nchini kuendelea kubuni bidhaa na huduma zinazoendana na mahitaji ya wanachama pamoja na kuendelea kutoa elimu ya fedha kwa wanachama na Watanzania ili kuongeza matumizi ya huduma za fedha nchini. Amesema hayo Oktoba 21, 2024 wakati akifungua Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 21 at 12.38.48

Wananchi kupata uelewa wa fedha kupitia maadhimisho

Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Huduma za Fedha yamelenga kuwawezesha wananchi kupata uelewa wa masuala ya fedha. Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Wasimamizi wa Sekta ya Fedha nchini, wameandaa maadhimisho hayo ambayo Kitaifa yanayofanyika katika Viwanja vya Ruanda-nzovwe Jijini Mbeya. Maadhimisho hayo yanalenga kutoa elimu kwa Wananchi kuhusu matumizi ya huduma rasmi za…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 09 20 at 11.30.46

BoT kuja na mwongozo kutatua malalamiko ya watumiaji huduma za fedha

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) iko mbioni kuandaa mwongozo utakaoainisha utaratibu wa kufuatwa katika kutatua malalamiko ya watumiaji wa huduma za fedha. Kaimu Mkurugenzi wa Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha Sadiki Nyanzowa, amesema mwongozo huo unalenga kuongeza ufanisi wa kushughulikia malalamiko hayo pamoja na kuleta usawa wa namna ya kushughulikia malalamiko kwa watoa huduma…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 09 09 at 13.32.51

Wananchi washukuru kupatiwa elimu ya fedha

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze wameishukuru Serikali kwa kuwafikishia elimu ya fedha itakayowasaidia kujikwamua kiuchumi kwa kutumia fursa za uwekezaji ili kujiongezea kipato na kuongeza thamani ya akiba zao. Wananchi hao wametoa shukrani hizo baada ya kupata mafunzo ya elimu ya fedha yaliyoratibiwa na Wizara ya Fedha, yenye kauli mbiu “Elimu ya fedha…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks