WhatsApp Image 2023 03 10 at 12.10.23

TEHEMA kuboresha ukusanyaji kodi

Serikali ya Estonia imeahidi kuisaidia Tanzania kuboresha mifumo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ya ukusanyaji kodi. Hatua hiyo itasaidia kupiga hatua zaidi katika masuala ya usimazi wa kodi na kuongeza uwazi na uwajibikaji. Ahadi hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Masuala ya Uchumi na Maendeleo wa Estonia, Mariin Ratnik, katika mazungumzo na Waziri…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 02 15 at 13.42.28

Serikali yasaini makubaliano kusimamia bunifu

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Kampuni ya Tanzania Startups Association (TSA) imesaini makubaliano ya ushirikiano wa kuanzisha na kuimarisha miongozo mbalimbali inayosimamia bunifu na kampuni changa nchini (startup’s policy) Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Februari 14, 2023 jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Jim Yonazi amesema lengo ni…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks