WhatsApp Image 2024 04 16 at 14.33.50 e1713267505112

TAMISEMI yaomba Sh Trilioni 10.125

Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), taasisi zilizo chini yake, mikoa 26 ikijumuisha halmashauri 184 zimeomba Bunge kuidhinisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25 yenye jumla ya shilingi trilioni 10.125. Kwa mwaka 2023/24, Ofisi ya Rais-TAMISEMI iliidhinishiwa bajeti ya trilioni 9.18. Kati ya fedha hizo,…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 02 29 at 17.02.43

Serikali yatangaza fursa kilimo cha mbogamboga na matunda

Naibu Waziri wa Kilimo David Silinde ametangaza fursa mbalimbali zilizopo Tanzania zinazohusu Sekta ya Kilimo, hususan kilimo cha mbogamboga na matunda pamoja na juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali za kuwezesha uwekezaji na biashara nchini. Silinde ametangaza fursa hizo katika maadhimisho ya Siku ya Tanzania Februari 28, 2024 wakati wa Maonesho ya Dunia ya Matunda na…

Soma Zaidi
swe

Mbunge alia na mikopo kausha damu

Mbunge wa viti maalum Mwantumu Zodo ametaka kufahamu ni lini Serikali itarejesha mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ambayo imesitishwa kwa muda mrefu. Akizungumza Bungeni jijini Dodoma Februari 02, 2023 amehoji “kwa kuwa wakina mama bado wanahangaika na mikopo ya kausha damu mitaani, je ni lini sasa serikali itaanza tena zoezi hili la utoaji mikopo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks