WhatsApp Image 2024 10 03 at 14.14.20

Tanzania yaishukuru IMF

Tanzania imelishukuru Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo kupitia misaada na mikopo nafuu inayoipatia kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kukuza uchumi wa nchi. Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ametoa shukrani hizo Jijini Dodoma, wakati akifungua vikao vya majadiliano kati ya Serikali na Timu ya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 05 23 at 17.18.43

Serikali ya Tanzania yatakiwa kujenga maabara za TEHAMA katika kila shule

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Oran Njeza ameiagiza Ofisi ya Rais- TAMISEMI kuhakikisha inajenga maabara za TEHAMA katika kila shule ili wanafunzi wapate ujuzi kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia duniani. Ameyasema hayo Mei 21, 2024 kwenye kikao cha kujengewa uwezo wajumbe wa kamati hiyo kuhusu ufundishaji mubashara uliofanyika…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks