kkkk

Kariakoo saa 24

Mara baada ya ujenzi wa soko la Kariakoo kukamilika biashara zinatarajiwa kufanyika kwa saa 24. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ameeleza hayo Julai 18, 2022 alipokutana na watendaji na viongozi wa mkoa kuzungumzia kampeni yake ya kuiependezesha Dar es Salaam. Mkuu huyo wa mkoa amesema Dar es Salaam ni Jiji la…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 06 21 at 4.37.08 PM

Benki ya NMB yapongezwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla ametoa wito kwa Benki ya NMB kuendelea kubuni huduma rafiki kwa makundi mbalimbali katika Jamii ili kuweza kuwafikia wateja wengi zaidi. RC Makalla ametoa wito huo wakati wa warsha kwa viongozi wa Serikali wa mkoa huo iliyolenga kueleza fursa mbalimbali zinazopatikana katika benki hiyo ikiwemo mikopo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks