WhatsApp Image 2023 10 19 at 13.07.13

Wadau usafirishaji waomba nauli ipande

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amekutana na wadau wa usafirishaji katika mkutano maalum uliofanyika katika ukumbi wa mikutano Arnatoglo Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam Oktoba 18, 2023 ambapo wadau hao wamewasilisha ombi la kupandishwa kwa nauli. RC Chalamila amesema wadau wa usafirishaji ni kundi muhimu hakuna anayeweza kubeza ukweli huo,…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 05 23 at 13.22.54

Kamati ya Waziri Mkuu yaanza kukusanya maoni ya wafanyabiashara

Kamati maalum ya kutatua changamoto za wafanyabiashara nchini iliyoundwa na Waziri Waziri Mkuu Kassim Majaliwa imeanza kukusanya maoni ya wafanyabishara kutoka sekta mbali mbali jijini Dar es Salaam. Kamati hiyo inaundwa na wajumbe 14 ambapo wajumbe saba ni wawakilishi wa wafanyabiashara nchini na wajumbe wengine ni kutoka Wizara na Taasisi mbali mbali zinazohusika na biashara…

Soma Zaidi
ter

RC Dar amaliza sintofahamu Stendi ya Magufuli

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla ametangaza kuondoa katazo lililokuwa likizuia mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi kutoruhusiwa kupakia abiria au kushusha katika vituo binafsi. katazo hilo, lilitaka mabasi yote yashushe na kupakia abiria katika kituo Kikuu cha mabasi Magufuli, kilichopo Mbezi. Kwa sasa, RC Makalla ameruhusu utaratibu wa vituo binafsi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks