WhatsApp Image 2024 08 19 at 12.28.57

Asali ya Tanzania yapata kibali kuuzwa China

Katika hatua kubwa inayotarajiwa kuleta mapinduzi katika sekta ya ufugaji nyuki, Serikali ya Tanzania imefanikiwa kusaini makubaliano na Serikali ya China, kuruhusu uuzaji wa asali ya Tanzania kwenye soko la China. Makubaliano haya yanafuatia jitihada za muda mrefu za kuhakikisha bidhaa za asali kutoka Tanzania zinapata nafasi ya kuuzwa katika soko kubwa zaidi duniani. Akizungumza…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 11 24 at 15.33.34

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian ambapo wamezungumza masuala mbalimbali ikiwemo uhusiano uliopo kati ya Tanzania na China na uwekezaji kwenye miradi ya Nishati. Mazungumzo hayo yamefanyika jijini Dar es Salaam Novemba 24, 2023 na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali…

Soma Zaidi
cant

Kushiriki maonesho China Dola 3,000

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imetangaza fursa kwa wafanyabiashara wa Tanzania wanaotaka kushiriki Maonesho makubwa ya Kimataifa ya biashara nchini China yajulikanayo kama Canton Fair. Kwa mujibu wa TanTrade gharama za kushiriki ni Dola za Marekani 3,000 kwa kila mshiriki. Gharama hizo zitahusisha usafiri wa ndege daraja la uchumi, usafiri wa ndani (ground…

Soma Zaidi
Usione aibu kufanya biashara ya halali inayokuingizia kipato umaskini ni aibu kubwa zaidi. 34

Taasisi 50 kushiriki kongamano la biashara

Takribani Taasisi 50 zinatarajiwa kushiriki Kongamano la Biashara la Kimataifa  lililoandaliwa na Jukwaa lijulikanalo kama ‘China Trade Week’ (CTW) na kuwahusisha wafanyabiashara mbalimbali wa ndani na nje ya nchi. Kongamano hilo litakalohusisha maonesho zaidi ya bidhaa 200, litafanyika  Septemba 26 hadi 28 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee. Bidhaa hizo ni pamoja na bidhaa za kielektroniki,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks