Screen Shot 2025 03 06 at 4.42.48 PM

Watanzania kujengewa uwezo kwenye teknolojia  uchimbaji na uchenjuaji madini

Serikali ya Tanzania na Canada imepanga kuwajengea uwezo wataalamu na wachimbaji wa madini nchini Tanzania katika matumizi ya teknolojia ya kisasa ya uchimbaji na uchenjuaji madini. Hayo yameelezwa wakati wa mazungumzo baina ya  Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada Ahmed Hussein na Waziri wa Madini wa Tanzania Anthony Mavundeyaliyofanyika Machi 04, 2025 Toronto, Canada…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks