Screen Shot 2025 05 27 at 12.33.51 PM

Wabunge wa Zambia watembelea mradi wa SGR

Wabunge kutoka Bunge la Zambia wametembelea Stesheni ya Magufuli Jijini Dar es Salaam kwaajili ya kujionea maendeleo ya mradi wa reli ya kisasa ya Standard Gauge Railway (SGR) unaoendeshwa kwa umeme, ikiwa ni sehemu ya ziara yao ya mafunzo na kubadilishana uzoefu katika sekta ya usafirishaji na miundombinu. Ujumbe huo umetembelea mradi huo Mei 26,…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 11 18 at 15.58.40 1

Nchi zilizoendelea zakumbushwa kutoa ahadi ya Dola bilioni 500

Nchi zilizoendelea zimetakiwa kutimiza ahadi yao ya kutoa dola za marekani bilioni 500, sawa na dola bilioni 100 kila mwaka kwa ajili ya kuzisaidia nchi zinazoendelea kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi katika kipindi cha miaka mitano, kuanzia mwaka 2020 hadi mwaka 2025. Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hayo wakati akichangia hoja…

Soma Zaidi
uuu

Marekani, Kenya zaongoza utalii Tanzania

Marekani na Kenya zimetajwa kuwa ndio nchi zinazoongoza kwa watalii wanaotembelea Tanzania. Utalii wa Tanzania umeanza kuongezeka ambapo takwimu zinaonyesha kuwa kuanzia Januari mpaka Julai mwaka huu Tanzania imepata watalii 742,133 sawa na ongezeko la asilimia 62.7 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana ambapo kulikuwa na watalii 456,266. Kati ya watalii 742,133 walioingia nchini,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks