Watoa huduma ndogo za fedha wanolewa
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeendesha warsha kwa watoa huduma ndogo za fedha kuhusu namna bora ya kutatua malalamiko ya watumiaji wa huduma na bidhaa za kifedha nchini. Akizungumza wakati wa kufungua warsha hiyo, Mkurugenzi wa Huduma Jumuishi za Fedha kutoka BoT Kennedy Komba amesema kuwa utatuzi wa malalamiko ni sehemu ya kulinda haki za…
