BoT yanunua tani 6.5 za dhahabu kwa kipindi cha miezi tisa
Tani 6.5 za dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo na wakubwa nchini Tanzania zimenunuliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa kipindi cha miezi tisa. Gavana wa BoT Emmanuel Tutuba amesema hayo katika mkutano ambao aliuhudhuria kwa njia ya mtandao na Gavana wa Benki Kuu ya Rwanda (NBR) Soraya Hakuziyaremye, Julai 24, 2025 alipotembelea ofisi za…
