Bilioni 298 zagharamia matibabu kifua kikuu, ukimwi na malaria
Serikali ya Tanzania kwa kipindi cha mwaka 2024/25 na 2025/26 imetoa jumla ya Dola Milioni 114 sawa na Shilingi Bilioni 298 za kitanzania kuongeza manunuzi ya dawa na vifaa tiba ili kufidia fedha zilizokuwa zikitumika kupambana na magonjwa ya Kifua Kikuu, UKIMWI na malaria nchini. Hayo yamesemwa na Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe,…
