Screen Shot 2025 01 22 at 11.06.48 AM

Tanzania kukusanya bilioni 100 kutoka bahati nasibu

Wizara ya Fedha inatarajia kukusanya Sh100 bilioni kila mwaka kutokana na uwekezaji wa Dola milioni 20 za Marekani uliofanywa na kampuni ya ITHUBA Tanzania, iliyopata leseni ya miaka minane kuendesha Bahati Nasibu ya Taifa. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande, alipozungumza katika hafla ya kutambulisha uwekezaji huo. Amesema amesema Serikali itachukua…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 01 09 at 5.01.38 PM

Tanzania, Uingereza kushirikiana katika kuendeleza madini mkakati

Serikali ya Tanzania imeihakikishia Serikali ya Uingereza kuendeleza ushirikiano kwenye sekta ya madini hususani katika kujengea uwezo watu wake, kubadilishana uzoefu, uongezaji thamani madini na kuwekeza kwenye kufanya tafiti mbalimbali ili kukuza sekta hiyo na kupanua mnyororo wa thamani ili kuongeza ajira na kuchangia katika ukuaji wa pato la taifa. Hayo, yameelezwa Januari 07 na…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 01 09 at 3.05.15 PM

Kampuni za Japan zakaribishwa Tanzania

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa Kampuni za Japan kuwekeza nchini Tanzania ili kutumia fursa zilizopo katika sekta mbalimbali za uzalishaji kwa faida ya pande zote mbili. Dkt. Nchemba ametoa rai hiyo Jijini Dodoma wakati akiagana na Balozi wa Japan nchini Tanzania aliyemaliza muda wake, Yasushi Misawa ambapo pamoja na mambo mengine…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 01 06 at 4.26.43 PM

Waziri ataka wawekezaji walindwe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ametoa maagizo kwa Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) kuwalinda wawekezaji hususani wa ndani ya nchi ili wasikwame katika suala la uwekezaji huku akiwaasa pia kuwawezesha pale panapostahili ili kukuza sekta ya uwekezaji nchini. Prof Mkumbo ametoa maagizo hayo Januari 5, 2025 wakati alipotembelea…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks