Ukosefu wa mitaji watajwa changamoto inayowakabili wachimbaji wadogo
Kukosekana kwa mitaji kumetajwa kuwa miongoni mwa changamoto inayowakabili wachimbaji wadogo wa madini katika mgodi wa Mawe wa Ndolela Quarry uliopo kijiji cha Ndolela jimbo la Isimani mkoani Iringa. Mwenyekiti wa Wachimbaji Mkoa wa Iringa ambaye pia ni miongoni mwa wamiliki wa mgodi wa Konga, uliopo kijiji cha Itengulinyi, mkoani Iringa Ibrahim Msigwa amesema ameitaja…
