kkkk

Kariakoo saa 24

Mara baada ya ujenzi wa soko la Kariakoo kukamilika biashara zinatarajiwa kufanyika kwa saa 24. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ameeleza hayo Julai 18, 2022 alipokutana na watendaji na viongozi wa mkoa kuzungumzia kampeni yake ya kuiependezesha Dar es Salaam. Mkuu huyo wa mkoa amesema Dar es Salaam ni Jiji la…

Soma Zaidi
coffee farm orchard

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu wengi ambao wamefanikiwa bado wanaendelea kuzichangamkia fursa za kilimo biashara kwa sababu wanajua zina mafanikio makubwa na muda unavyozidi kwenda, teknolojia zinavyoendelea kuboreshwa kilimo biashara kitafanyika kwa urahisi zaidi. Hata watu waliofanikiwa tayari wanachangamkia kilimo…

Soma Zaidi
ppp

Serikali kuokoa Sh bilioni 500

Serikali ya Tanzania itaokoa Sh bilioni 500 ambazo zinatumika kununua mafuta, vipuri na kufanya matengenezo ya magari ya viongozi. Fedha hizo zitaokolewa endapo serikali itawakopesha viongozi wenye hadhi ya kuwa na magari magari hayo na kuwa yao tofauti na sasa ambapo magari hayo yanamilikiwa na kufanyiwa matengenezo na serikali. Akiwasilisha bajeti ya Fedha kwa mwaka…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks