Zanzibar yapewa mafunzo mifumo ya biashara
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imeendesha mafunzo ya mifumo ya biashara kwa maafisa wa Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar. Mafunzo hayo pia yamejumuisha wadau kutoka sekta mbalimbali za biashara visiwani humo. Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Said Shaaban ambaye ni mgeni rasmi…
