WhatsApp Image 2023 11 10 at 13.50.24

Korea Kusini yaahidi kuwekeza zaidi Tanzania

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Biashara kutoka nchini Korea Kusini Ahn Dukgeun ambapo  ameeleza kuwa nchi hizo zitaendelea kudumisha ushirikiano uliopo katika nyanja za kiuchumi na kijamii. Katika kikao hicho kilichofanyika jijini Dodoma, Dkt. Biteko alimuhakikishia Dukgeun ushirikiano kutoka Serikali ya Tanzania katika…

Soma Zaidi
nyy 1

Uzalishaji asali waongezeka Mbinga

Uvunaji wa asali katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga umeongezeka kwa asilimia 5.1 mwaka 2022/23 ikilinganishwa na mwaka 2021/22. Akizungumza Novemba 8, 2023 kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Amina Seif, Afisa Nyuki wa Halmashauri hiyo Gilbert Gotifrid amesema kuwa katika kipindi hicho tani za asali zilizovunwa ziliongezeka kutoka 3.9 hadi…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 25 at 13.52.39

Vikwazo nane vyaondolewa Tanzania, Zambia, vyabaki 16

Tanzania na Zambia zimekubaliana kuendelea kuondoa vikwazo mbalimbali vya kikodi na visivyo vya kikodi ambapo mpaka sasa vikwazo nane vimeondolewa kati ya 24 vilivyoainishwa na serikali hizo mbili. Makubaliano hayo ni pamoja na kuondoa urasimu, kuweka mazingira rahisi ya ufanyaji biashara, kuitumia vyema miundombinu inayounganisha nchi hizo na kuruhusu muingiliano wa watu. Hayo yamejadiliwa mjini…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 20 at 11.55.32

Maliasili na Utalii kutumia akili bandia (AI)

Wizara ya Maliasili na utalii imesema inaanza kutumi akili bandia (Artificial Intelligence) katika kutekeleza majukumu yake ili kuleta ufanisi wenye tija katika tafiti za Wanyama. Imeeleza kuwa hivi karibuni itaanza kutumia AI kwenye kuandikisha watalii kutokea nchi wanazotoka hadi kwenye vivutio vya utalii watakavyotembelea. Haya yamebainika wakati Kamati ya Bunge ya kudumu ya Ardhi, Maliasili…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 19 at 13.07.13

Wadau usafirishaji waomba nauli ipande

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amekutana na wadau wa usafirishaji katika mkutano maalum uliofanyika katika ukumbi wa mikutano Arnatoglo Mnazi mmoja Jijini Dar es Salaam Oktoba 18, 2023 ambapo wadau hao wamewasilisha ombi la kupandishwa kwa nauli. RC Chalamila amesema wadau wa usafirishaji ni kundi muhimu hakuna anayeweza kubeza ukweli huo,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks