Kiwanda kipya kumaliza tatizo la mbolea nchini
Kiwanda kipya cha mbolea cha Itracom kilichopo jijini Dodoma kinatarajiwa kuwa na uwezo wa kuzalisha tani milioni moja za mbolea ifikapo mwezi Agosti 2024 na kuifanya Tanzania kuacha kuagiza mbolea kutoka nje. Tani hizo milioni moja, zitakuwa ni ziada ya tani 400,000 ambapo Tanzania ina mahitaji ya mbolea tani laki sita kwa mwaka. Benki Kuu…
