WhatsApp Image 2024 10 03 at 14.14.20

Tanzania yaishukuru IMF

Tanzania imelishukuru Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo kupitia misaada na mikopo nafuu inayoipatia kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kukuza uchumi wa nchi. Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ametoa shukrani hizo Jijini Dodoma, wakati akifungua vikao vya majadiliano kati ya Serikali na Timu ya…

Soma Zaidi
mav

Usimamizi thabiti wa madini mkakati utakuza uchumi wa Afrika: Waziri Mavunde

Waziri wa Madini Anthony Mavunde amezitaka nchi za Afrika wazalishaji wa madini mkakati kuweka usimamizi madhubuti wa rasilimali hizo ili zisaidie kukuza uchumi kwa kuhakikisha unakuwepo mkakakati imara wa kuongeza thamani madini hayo katika nchi wazalishaji. Mavunde ameyasema hayo Oktoba 02, 2024 wakati akitoa hotuba yake akishiriki Mkutano wa 13 wa Utajiri wa Madini Jijini…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 09 20 at 11.30.46

BoT kuja na mwongozo kutatua malalamiko ya watumiaji huduma za fedha

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) iko mbioni kuandaa mwongozo utakaoainisha utaratibu wa kufuatwa katika kutatua malalamiko ya watumiaji wa huduma za fedha. Kaimu Mkurugenzi wa Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha Sadiki Nyanzowa, amesema mwongozo huo unalenga kuongeza ufanisi wa kushughulikia malalamiko hayo pamoja na kuleta usawa wa namna ya kushughulikia malalamiko kwa watoa huduma…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks