WhatsApp Image 2024 10 23 at 11.06.51 1

Rais Dkt. Mwinyi asisitiza fursa za kiuchumi na kuitangaza Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Mabalozi wa Nchi za Afrika wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania kuimarisha ushirikiano na fursa za kiuchumi pamoja na kuutangaza utalii wa Zanzibar kimataifa. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo Oktoba 21, 2024, alipozungumza na mabalozi waliotembelea Ikulu baada ya kumaliza ziara yao…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 22 at 12.13.08

Silinde: Tunathamini mchango wa SACCOS Kwenye utoaji wa huduma jumuishi za kifedha

Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amewataka Viongozi na Watendaji wa SACCOS nchini kuendelea kubuni bidhaa na huduma zinazoendana na mahitaji ya wanachama pamoja na kuendelea kutoa elimu ya fedha kwa wanachama na Watanzania ili kuongeza matumizi ya huduma za fedha nchini. Amesema hayo Oktoba 21, 2024 wakati akifungua Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 18 at 16.11.59 1

CBT kuwa chombo cha majadiliano baina ya wakulima na benki za kibiashara

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (Mb) amesema Benki ya Ushirika Tanzania (CBT) itakuwa chombo muhimu cha majadiliano na makubaliano ya kibiashara kati ya wakulima na Benki za Kibiashara. Bashe amesema hayo Oktoba 17, 2024 katika Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Wananchama wa Benki ya Ushirika Tanzania (CBT) uliofanyika jijini Dodoma. Waziri Bashe amesema CBT inaanza…

Soma Zaidi
rere

Tanzania kununua helikopta kuchunguza madini ardhini

Serikali ya Tanzania imesema ina mpango wa kununua helikopta itakayofungwa vifaa maalum vya uchunguzi wa madini ardhini. “Tutakwenda kununua helkopta ambayo tutaifunga vifaa vya utafiti kwa ajili ya ‘kuscan’ ardhi yetu kuweza kufahamu chini ya ardhi kuna nini,” ameeleza Waziri wa Madini Antony Mavunde. Waziri Mavunde anaeleza “bahati nzuri hivi sasa katika Dunia ya leo…

Soma Zaidi
Umekuwa ukifikiria jinsi ya kukuza biashara yako ndogo, lakini mtaji umekuwa kikwazo kikuu?

Wakopeshaji watakiwa kuwa na leseni

Ni ukweli usiopingika kuwa hali ngumu ya maisha, kukosekana kwa kipato cha uhakika kumesababisha wananchi wengi kuishi kwa kutegemea mikopo kutoka sehemu mbalimbali rasmi na zisizo rasmi. Ipo ile ambayo hutolewa na taasisi za fedha kama benki, vikundi vya kuwezeshana na mingine hutolewa na watu binafsi. Mikopo hii kwa namna moja ama nyingine imekuwa ikisababisha…

Soma Zaidi
mmm

Ukiuzia madini nyumbani tutakufutia leseni: Waziri Mavunde

Serikali imepiga marufuku biashara ya madini kufanyika majumbani kwa watu na kusisitiza kwamba hatua kali za kisheria zitachukuliwa ili kudhibiti utoroshaji madini na upotevu wa mapato ya Serikali. Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema hayo Septemba 17, 2024 Wilayani Tunduru, mkoani Ruvuma akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo kukagua miradi na maendeleo ya shughuli…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks