WhatsApp Image 2023 11 06 at 17.14.19

Deni la Serikali ni Sh 82.12 trilioni

Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Juni 2023, deni la Serikali lilikuwa ni Sh 82.12 trilioni huku mikopo ikitumika kugharamia miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya barabara, reli, viwanja vya ndege, umeme, afya na elimu. Waziri Nchemba amesema hayo Novemba 6, wakati akiwasilisha mapendekezo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 12 at 14.27.12

Tanzania yasifiwa usimamizi mageuzi ya uchumi

Tanzania imesifiwa kwa usimamizi mzuri na mageuzi makubwa ya kiuchumi ikilinganishwa na nchi nyingi za Kusini mwa Jangwa la Sahara. Hii ni katika kipindi ambacho Dunia inahangaika na misukosuko inayotokana na athari za UVIKO 19, mizozo ya vita pamoja na kuyumba kwa soko la fedha za kigeni. Pongezi hizo zimetolewa kwa nyakati tofauti na Makamu…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks