Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu pesatu.com

Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu

Uuzaji wa miwani kiholela umeshamiri katika maeneo mengi nchini husasani mijini. Miwani hizo nyingi zikiwa ni zile zinazotajwa kuwa ni miwani za urembo. Mbali na kumsababishia madhara mtumiaji anayetumia miwani pasipo kuipima na kupima macho yake, pia mtu yeyote anayejihusisha na biashara ya miwani anatakiwa azingatie sheria ya Optometria sura namba 23 ikiwemo kusajiliwa katika…

Soma Zaidi
Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla.

Jinsi Zanzibar ilivyotekeleza ilani ya CCM kiuchumi, elimu

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi imewasilisha jinsi ilivyotekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya 2020/2025 katika nyanja mbalimbali ikiwemo kiuchumi, elimu, afya, uwekezaji na miundombinu. Hii ni katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akiwasilisha utekelezaji wa Ilani hiyo jijini Dodoma, Makamu wa pili wa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 29 at 3.14.08 PM

Afrika yaaswa kuimarisha ukusanyaji rasilimali za ndani kukabili misaada inayopungua

Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Sauda Msemo, amezitaka serikali za Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara kuimarisha ukusanyaji wa rasilimali za ndani ili kupunguza utegemezi mkubwa kwa misaada ya kigeni inayopungua. Akizungumza Aprili 28, 2025 katika mjadala ulioandaliwa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2025 03 20 at 15.50.46

 Waziri Mkuu ataka bidhaa zinazozalishwa nchini kukidhi viwango

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za kudhibiti viwango nchini zihakikishe uzalishaji wa bidhaa  zote zinazozalishwa zikiwemo za afya zinakidhi ubora unaotakiwa na kuweza kushindana katika masoko ya kimataifa. Ametoa agizo hilo Machi 20, 2025 baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa mitambo ya kuzalisha oksijeni kwa matumizi ya hospitali, ambapo amesisitiza kuwa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 01 18 at 12.54.43 1

Halmashauri ya Mji wa Mbinga yachekelea fedha za Rais Samia miradi mbalimbali

Halmashauri ya Mji wa Mbinga imepokea jumla ya Shilingi bilioni 11.974 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Amina Seif amesema hivi karibuni kiasi hicho kilitumika kutekeleza miradi mbalimbali kwenye sekta za Elimu,  Afya, Maendeleo ya jamii, Kilimo, Utawala, Biashara na Mifugo. Ameeleza kuwa fedha hizo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks