Uvuvi unaingiza Tsh. trilioni 2.94 kwa mwaka: Waziri Mkuu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema sekta ya uvuvi inaingiza mapato ya Tsh. trilioni 2.94 kwa mwaka na imekuwa ikikua kwa wastani wa asilimia 1.9 kwa mwaka. Waziri Mkuu ameeleza hayo Septemba 11, 2024 wakati akifungua Mkutano wa Nane wa Mawaziri wa Umoja wa Nchi za Afrika, Caribbean na Pasifiki (OACPS) wanaohusika na masuala ya Uvuvi,…
