WhatsApp Image 2024 04 16 at 13.54.19

Wakaguzi wa ndani Afrika watakiwa kubadilishana uzoefu

Wakaguzi wa Ndani barani Afrika wametakiwa kubadilishana uzoefu na kutumia teknolojia katika kutatua changamoto mbalimbali katika taaluma yao na kuhakikisha wanasaidia taasisi na Serikali zao kuboresha ufanyaji kazi ili kuchochea maendeleo. Hayo yameelezwa jijini Arusha na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya Salum, wakati wa Mkutano wa 10…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 12 13 at 2.22.15 PM

Rais Samia aridhia Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa kilimo

Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kilimo utakaohusisha viongozi, watu mashuhuri na wadau takribani 3,000 kutoka sehemu mbalimbali duniani. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia mkutano huo kufanyika nchini Tanzania mwaka 2023. Taarifa hiyo inabainisha kwamba aliyekuwa Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks