tt

Daraja la Tanzanite kuanza kutumika February Mosi

Daraja la Tanzanite(Salenda) limekamilika kwa asilimia 100 na litaanza kutumika rasmi kesho February Mosi, 2022. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amesema daraja hilo lenye urefu wa km 1.03 limegharimu kiasi cha Sh bilioni 243. Amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha kuwa Tanzania inafunguka kwenye sekta ya miundombinu ili wananchi waweze kufanya…

Soma Zaidi
tt

TANESCO yatangaza mgao wa umeme

Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limetangaza rasmi kuanza mgao wa umeme wa siku 10 nchi nzima kuruhusu matengenezo ya mitambo ya kufua umeme kote nchini. Maharage Chande, Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco leo Ijumaa Januari 28, 2022 amesema mgao huo utaanza Februari Mosi hadi Februari 10 mwaka huu. TANESCO inaendelea na maboresho kwenye vituo vyake vya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 01 27 at 18.03.45

Hongera Rais Samia

Leo Januari 27, 2022 ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Watu mbalimbali, taasisi zilizo za serikali na za binafsi wamemtakia kheri Rais Samia. Ama kwa hakika salamu katika siku yake hii muhimu sio haba. Rais Samia leo ametimiza umri wa miaka 62, amesema yeye…

Soma Zaidi
E51442C6 6686 4538 A1FA D837C5FF2EBC

Vivutio vya utalii Tanzania vyavutia Hispania

Katika Maonesho ya Utalii ya FITUR yanayoendelea nchini Hispania, vivutio vya utalii vinavyopatikana nchini  vimewavutia washiriki wengi. Kaimu Meneja wa Mikutano na Matukio wa Bodi ya Utalii (TTB) inayoratibu maonesho hayo kwa upande wa Tanzania Bi. Lily Fungamtama amesema kuwa wamepokea mawakala wengi wa utalii walioonyesha kuvutiwa na vivutio hivyo na kuweka miadi ya kuvitembelea…

Soma Zaidi
Jummanne 1

Wajasiriamali wa kati wameongezeka kwa kiasi kikubwa nchini

Jumanne Rajabu Mtambalike ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Sahara Ventures inayojishughulisha na kuunganisha wajasiriamali wa kati na makampuni ya uwekezaji nje ya nchi kidigitali. Kampuni hiyo ambayo ilianzishwa mwaka 2016, ni atamizi ya kusaidia makampuni madogo madogo kuwa tayari kukutana na wawekezaji mbalimbali kwa kuwapa ubunifu, ushauri na teknolojia. Mtambalike ambae pia ni mjasiriamali…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks