WhatsApp Image 2023 05 09 at 12.10.49

Tanzania yaishukuru Sweden

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba ameishukuru Sweden kwa misaada mbalimbali iliyoweka alama chanya katika maendeleo ya kiuchumi katika sekta ya nishati, elimu na masuala ya demokrasia. Amesema hayo jijini Dodoma, wakati wa mkutano wake na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Charlotta Ozaki Macias, ulioangazia ushirikiano wa maendeleo kati ya nchi hizo mbili….

Soma Zaidi
bataaaa

Bata wawili hadi kumiliki bata 1,000

Sio lazima uingie darasani na upate elimu katika mfumo rasmi ndipo uweze kufanikiwa katika maisha. Ndivyo wanavyoweza kusema kikundi cha Maisha Mazuri kilichopo Pugu, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam. “Tulipata mafunzo ya uzalishaji kanisani tukiwa katika ibada, kijana mwenzetu akasema yeye ana bata, tukaanzisha kikundi tukiwa wanachama sita, akatupatia bata wawili jike na…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 01 27 at 18.03.45

Hongera Rais Samia

Leo Januari 27, 2022 ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Watu mbalimbali, taasisi zilizo za serikali na za binafsi wamemtakia kheri Rais Samia. Ama kwa hakika salamu katika siku yake hii muhimu sio haba. Rais Samia leo ametimiza umri wa miaka 62, amesema yeye…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks