PPAA yaokoa bilioni 567.6 katika michakato ya zabuni za umma
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imefanikiwa kuokoa upotevu wa fedha za serikali kiasi cha Tsh. 567,636,151,996.00 katika mshauri 140 yaliyokuwa katika hatua mbalimbali za michakato ya ununuzi wa umma kwa kipindi cha miaka mitatu (2021 – 2024). Katibu Mtendaji wa PPAA, James Sando amebainisha hayo alipozungumza na waandishi wa Habari katika maonesho…
